Ribery: Chelsea ni bora zaidi Barca |
WINGA wa Bayern Munich, Franck Ribery amesema Chelsea ni
timu bora zaidi katika kucheza kimbinu kuliko Barcelona. |
Valencia mchezaji bora Man U |
WINGA wa Manchester United, Antonio Valencia ametajwa kuwa
mchezaji bora wa mwaka wa klabu hiyo jana wakati wa chakula cha jioni
Old Trafford. |
Hulk aitega Porto |
MSHAMBULIAJI wa Porto, Hulk amesema anajua kwamba klabu nyingi zimekuwa zikimtaka ajiunge nazo. |
Adebayor aitosa tena Togo |
NAHODHA wa zamani wa timu ya Taifa ya Togo, Emmanuel
Adebayor ametangaza kujitoa katika timu hiyo huku akisema anafanya hivyo
kwa sababu haoni kama nchi yake inataka kweli maendeleo ya soka.
|
No comments:
Post a Comment